Saturday, September 25, 2010

WEMA UMARUFU WAKO UNATUCHUKIZA.


ni kwa mrefu sasa tumusikia habari tofauti kuhusu wema sepetu,sas atufahamu anafa haya yote kwa sababu ya umaaru wake au?mara leo yuko na huyu kesho yuko na huyu,mara chalz baba,kanumba,ee mara jumbe sasa mi najiuliza kuna umuhimu gani kuwa miss tanzania au ndo vile tena alimuonga lundenga nyapu.je,jamii inaiga nini kutoka kwake?wema umetuchosha na mambo yako.

Tuesday, June 29, 2010

ENGLAND YAPIGWA VIBAYA


Jamani uwezi amini juzi england ilipigwa vibaya sana na team fulani,nimeisahau na hivyo kupekea kutolewa katika mzungukowa kwanza

Saturday, May 8, 2010

AJALI BARABARANI

eeebwana inakuwaje wanangu wote,dah leo bado kidogo nife,yani kuna bongr la ajali limetokea pande za kizuiani wakati natoka home kwa dumbalume,si unajua tena tatizo kwetu mbagala.kuna jamaa mmoja na kigali hake cha mkopo kaingia .... jmaa akasabibishia ok any wah hata ivyo nimesave wangu.....

Sunday, March 7, 2010

u ready got it


waaoo kwa kweli tukizungu mzia suala music ya rnb bongo utoacha kumtaja steve kwamba yeye ndiye mkali wa rnb,sas basi hivi karibu mshikaji ana mpango wa kurealize album ya kwanza tangu aingie kwenye game.mmm hakutaja kuwa album hiyo itaenda kwa jina gani,stay tune...